Wanafunzi wengi waliohitimu kidato cha sita na kutuma maombi kwa ajili ya kujiunga na Vyuo Vikuu nchini Tanzania wamekuwa wakisubiri kwa muda mrefu sasa kupata majibu hayo, zoezi ambalo limechukua muda mrefu kuliko ilivyokadiriwa na hivyo kugeuka kuwa kero kubwa katika mipango ya watu, familia na wafadhili.
Linki ifuatayo ina orodha ya wale wote
Linki ifuatayo ina orodha ya wale wote
waliochaguliwa na TCU kujiunga na chuo cha SAUT:
http://74.53.24.105/~saut/selectiontcu.php
Kwa bahati mbaya, tovuti ya Tanzania Commission for Universities, TCU, ambapo matokeo ya vyuo vyote yanatarajiwa kuorodheshwa, bado haina linki wala maelezo yoyote zaidi ya kusema matokeo yanatarajiwa kutoka tarehe za katikati ya mwezi Septemba na kuwa wanaomba samahani kwa usumbufu wowote utakaosababishwa na zoezi hili.
Tafadhali endelea kubofya linki ya TCU kuona ikiwa wameshabandika matokeo: www.tcu.go.tz
Poleni sana kwa usumbufu mnaoupata,
http://74.53.24.105/~saut/selectiontcu.php
Kwa bahati mbaya, tovuti ya Tanzania Commission for Universities, TCU, ambapo matokeo ya vyuo vyote yanatarajiwa kuorodheshwa, bado haina linki wala maelezo yoyote zaidi ya kusema matokeo yanatarajiwa kutoka tarehe za katikati ya mwezi Septemba na kuwa wanaomba samahani kwa usumbufu wowote utakaosababishwa na zoezi hili.
Tafadhali endelea kubofya linki ya TCU kuona ikiwa wameshabandika matokeo: www.tcu.go.tz
Poleni sana kwa usumbufu mnaoupata,
ninaihisi shauku na hasira mliyo nayo. Poleni.
credit source: http://www.wavuti.com/
credit source: http://www.wavuti.com/
Secondari za seminary zinafundisha na kufaulisha kwa kishindo kwa kuwa na misingi na rasilimali muhimu na imara.
ReplyDeleteHii haimaanishi kuwa vyo vikuu vya binafsi (seminary ukitaka) ni vizuri pia. Vyaweza kuwa vinajitahidi.
Ni vizuri watu wapigane kwanza kupata vyuo vikomavu na vyenye walimu wakomavu wakutosha, wakikosa ndo waende kwengine.
TCU imedhirisha kutokuweza kutekeleza majukumu yake katika wakati hata ule ambao imejipangia wenyewe.mbaya zaidi imeshindwa hata kuomba radhi wanafunzi kwa kushindwa kwao kutekeleza jukumu lao kama walivoahidi kutoa selection tarehe 18september
ReplyDeleteTCU waache siasa yao ya maji taka mambo ya Elimu hayahitaji
ReplyDeletesiasa kwani wanachezea maisha ya vijana ambao ndio wajenga nchi