Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, John Shemkunde (kulia) kukagua jengo la hoteli ya serikali ya Mikumi Wild Life Lodge ya wilayani Kilosa akiwa katika mapumziko ya Idd jana. Nyuma yake ni mkewe Tunu.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua jengo la Hoteli ya Mikumi Wiild Life Lodge wilayniKilosa ambalo ililiteketea kwa moto 6/8/2006 na hadi leo limebaki kuwa gofu. Alikiwa katika mapumziko ya Idd jana.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiongozwa na Mhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Mikumi, John Shemkunde kukagua jengo la Hoteli ya Mikumi Wiild Life Lodge wilayniKilosa ambalo liliteketea kw amoto 6/8/2006 na hadi leo limebaki kuwa gofu.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu wakikagua jengo la Hoteli ya Mikumi Wiild Life Lodge wilayniKilosa ambalo liliteketea kw amoto 6/8/2006 na hadi leo limebaki kuwa gofu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. HAKI YA BABA WAKENYA HAWAJALIONA HILI, WAKILIONA HALAFU SISI TUTAANZA KULALAMIKA WAKATI MIAKA YOTE HII HATUNA HABARI NALO. TUNAWEZA NINI DUNIANI HUMU?

    ReplyDelete
  2. muheshimiwa waziri mkubwa nani anampigia kampeni kwao?

    ReplyDelete
  3. DUH! Sikujua kuwa Mikumi Wildlife Lodge iliungua moto. Nilijua imefungwa. Inasikitisha. Ilikuwa nzuri sana enzi zake. Walikuwa na platform nyuma na darubini kubwa unaweza kuona wanyama tele.

    ReplyDelete
  4. Haikuwa na BIMA?Au mambo yote ya serikali ndio hayana bima kama magari yao, si walitoe kwa wa TZ tuliendeshe?4 yrs sidhani kama Gvt ina uwezo na utashi tena?
    Sad!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...