Mgomea Mwenza wa Urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Batilda Buriani, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Kata ya Kimandolu Jijini Arusha jana.
Mgombea Mwenza wa Urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipongezwa na Bi Nadifa Mohamed Molel (88) ambaye ni mwanachama na shabiki wa chama hicho baada ya kumaliza mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye Kata ya Kimandolu mjini Arusha jana.
Mgombea Mwenza wa urais wa CCM, DK. Mohamed Gharib Bilala, akizungumza na wananchi wa mpakani mwa mkoa wa Arusha na Moshi wakati akiwa njiani kuetoka Arusha kuelekea Moshi jana.
Wananchi wa Kata ya Kimandolu wakimsikiliza na kumshangilia mgombea Mwenza wa urais wa CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, wakati alipofanya mkutano wa kampeni katika jimbo hilo jana. Picha na Muhidin Sufiani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...