Home
Unlabelled
TaSUBa wamfagilia JK
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Wakuu,
ReplyDeleteHapo kwenye picha ya classmate wangu Gasper Tumaini nimemtambua Mwl Elizabeth Buriani tu.
Cha zaidi, ni kwamba wiki hii Chuo Cha Sanaa Bagamoyo amefariki Master Melodic Drummer Mwl Basil Mbata. Naomba tumkumbuke na kumuenzi kwa kutuma picha na video zake mitandaoni. Naomba tufanye hivyo tuweze kuona na kuonesha kipaji na maana ya melodic drummer ili kwamba wapiga ngoma na wapenzi wa muziki tupate mafundisho na ari/inspiration!? ya kuwa kama Marehemu Mwl Basil Mbata.
Sina hakika kama Tanzania inaweza kumpata kirahisi melodic drummer wa kariba ya Marehemu Mwl Basil Mbata. Mwenyezi Mungu Amrehemu Marehemu Mwl Mbata kwa Amani. Amen.
Ni mimi maridhiya,
Fidelis M Tungaraza.
aibu
ReplyDelete