Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe
ameshinda uchaguzi Jimbo la Hai na kurejea bungeni tena
kama mbunge baada ya kuwa nje kwa miaka mitano
Mwenyekiti wa TLP Mh. Augustino Lyatonga Mrema akishangiliwa na wafuasi wake wakati wa kampeni. Leo ametangazwa kuwa Mbunge mteule wa Jimbo la Vunjo baada ya kushinda kwenye kinyang'anyiro cha kiti hicho baada ya kukaa nje kwa muongo mmoja





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. hawa ndio wenye kupenda uongozi si upumzike tu mrema.

    ReplyDelete
  2. Safi sana hawa jamaa wawili kurudi bungeni yaani italeta hamasa ya upinzani wa kweli bungeni na bunge litakua na meno hasa Big up mrema na mbowe sasa mlichangamshe bunge kwa utetezi wa haki

    Mdau wajina Madagasca

    ReplyDelete
  3. Source: BBCswahili Ustream, www.mwananchi.co.tz, wasimamizi wa majimbo ya uchaguzi, majimbo yaliyotwaliwa na vyama vya upinzani mpaka sasa ni :
    1.Musoma mjini - Vincent Nyerere- CHADEMA
    2.Iringa mjini - Mch. Peter Msigwa- CHADEMA
    3.Lindi mjini - Salum Halfani Barwani- CUF
    4.Arusha mjini- Godbless Lema - CHADEMA
    5.Mwanza Nyamagana- Hezekiah Wenje - CHADEMA
    6.Moshi Mjini- Philemon Ndesamburo - CHADEMA
    7.Maswa Magharibi- John Shibuda- CHADEMA
    8.Maswa Mashariki- Silverster Kasulumbayi- CHADEMA
    9.Ukerewe - Salvatory Naluyege- CHADEMA
    10.Biharamulo - Dr. Mbasa - CHADEMA
    11.Ilemela - Haines Samson- CHADEMA
    12.Meatu- Meshack Opulukwa- CHADEMA
    13.Kigoma Kaskazini- Zitto Kabwe- CHADEMA
    14.Mbeya mjini - Joseph Mbilinyi - CHADEMA
    15.Hai Kilimanjaro- Freeman Mbowe - CHADEMA
    16.Vunjo - Augustino Lyatonga - CHADEMA

    ReplyDelete
  4. we anonymous 12:10 mrema sio wa CHADEMA hebu sahihisha

    ReplyDelete
  5. Yaani watu wa HAI nawakubali wameyeyushwa na barabara 5yr na Fuya sasa wakasema okayyyyyy natuone sasa!huyo wamepa Free...kweli wamachame soooooo!

    ReplyDelete
  6. Haya mzee wa kiraracha - kakoroge mambo bungeni kwani hujulikani kama wewe ni mpinzani au CCM "B"

    ReplyDelete
  7. upinzani sio kukosoa hata kilicho kizuri, tujenge utamaduni wa kuyakubali mema ya mbaya wako na kukosoa mabaya hata kama ya mwema wako. tusiwe critics kwa kila jambo kwani yana tushushia hadhi na tunashindwa kutofautisha msomi na mbumbumbu enapo wote wawili wana tabia hii.

    KK
    Magamba coast

    ReplyDelete
  8. Mrema akibebwa jamani huwa hacheki ...eh!

    ReplyDelete
  9. ONGERA SISIEM KWA KUPATA JIMBO KUPITIA UPINZANI, MREMA OYEEEEEEEEEEEEE

    ReplyDelete
  10. Nibebe nibebe!!!!!!!!

    this time Lyatonga atakuwa msemaji wa JK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...