We regret to announce the death of Mr. HUMPHREY NOEL MKONDYA, a Veteran Lawyer, husband to Edith Chisenga Mkondya, father to Eric, Kenneth, Lawrence and Dr. Ellen which occurred on Friday the 12th of November, 2010 at the Apollo Hospital in Chennai, India.
The funeral service will take place on Wednesday 17th November, 2010 at 1400hr, at his residence, House No. 23, Wakulima Road, Hannanasif Estate Kinondoni, Dares Salaam.
The body of the late Mr. Mkondya will be
laid to rest on the very day at 1500hrs at Kinondoni cemetery
The Lord gave and the lord hath taken away;
Blessed be the name of Lord. Job 1: 2 1b
May his Soul Rest in Eternal Peace
- Amen.
MUNGU AMLAZE MAHALI PEMA PEPONI... AMIN
ReplyDeleteMDAU CANADA
Inna Lillahi wainna ilaihi raajioun...Hakika sisi sote ni waja wa Mungu na kwa hakika sote marejeo yetu ni kwake...Mwenyezi Mungu awape Moyo wa subira na kushukuru hasa katika kipindi hiki kigumu cha Msiba..Pokea pole zangu nyingi sana Dr.Ellen na faamilia yako na Molaa atakujaza ujasiri zaidi...Tupo pamoja
ReplyDeletePoleni sana Dr Ellen,Mungu akutie nguvu
ReplyDeletePoleni sana familia ya Mkondya. Nimesikitishwa sana na kifo cha mzee wetu-RIP.
ReplyDeleteR.I.P Mr Mkondya. You will always be missed.
ReplyDeletePoleni sana wafiwa.
Ellen,Eric poleni sana,Jovin
ReplyDeletePoleni sana kwa msiba mkubwa, mwenyezi mungu awatie nguvu katika kipindi hiki kigumu. RIP Humphrey Mkondya.
ReplyDeleteThe Chagula's