DIAMOND akifanya makamuzi yake ya mwisho UK kwenye jiji la Coventry Katika nyanda za Midlands. Shoo hiyo ambayo ni part ya Urban Tour iloyofanyika katika miji tofauti ya UK , Urban Tour imeandaliwa kusaidia vita dhidi ya Malaria. Urban Tour iliandaliwa na kampuni inayo milikiwa na Baraka Baraka, Frank Eyenbe na Nocha Sebe ambao ni vijana Wakitanzania wishio UK inajulikana kama URBAN PULSE CREATIVE MEDIA..

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kweli majuu kutamu diamond kapendeza kweli hapa anafanaa na chris brown!

    ReplyDelete
  2. mie sisemi mengi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...