TANGAZO LA MKUTANO WA BALOZI
NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI SWEDEN
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mheshimiwa Muhammed Mzale atakutana na Watanzania waishio nchini Sweden siku ya Jumamosi tarehe 11 Disemba 2010 kuanzia saa tisa alasiri katika ukumbi wa Kista Träff uliopo kwenye anwani ifuatayo:
Kista Torg 7
164 42 Kista
Stockholm
Watanzania mnaombwa mjitokeze kwa wingi ili mpate fursa ya kufahamiana na kujumuika na Mheshimiwa Balozi kwenye mkutano huu ambao pia utatumika kama sehemu ya sherehe ya miaka 49 ya uhuru.
Tafadhali mnaombwa sana kuzingatia muda.
Kista Torg 7
164 42 Kista
Stockholm
Watanzania mnaombwa mjitokeze kwa wingi ili mpate fursa ya kufahamiana na kujumuika na Mheshimiwa Balozi kwenye mkutano huu ambao pia utatumika kama sehemu ya sherehe ya miaka 49 ya uhuru.
Tafadhali mnaombwa sana kuzingatia muda.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...