Kama kuna utalii wa ndani, basi hata ushabiki wa ndani pia upo. Jina la Mchezaji wa Timu ya Taifa na Azam United, Mrisho Ngassa , ambaye pia aliwahi kuichezea timu ya Yanga , limekuwa gumzo hadi vijijini, ambapo Basi dogo la Abiria linalofanya shunghuli ya kusafirisha abiria kutoka Mjini Ifakara , Wilayani Kilombero kwenda Malinyi, Wilaya ya Ulanga likiwa limeandikwa jina la mshambuliaji huo mahiri. Picha na John Nditi.
Home
Unlabelled
ushabiki wa ndani malinyi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...