Kama kuna utalii wa ndani, basi hata ushabiki wa ndani pia upo. Jina la Mchezaji wa Timu ya Taifa na Azam United, Mrisho Ngassa , ambaye pia aliwahi kuichezea timu ya Yanga , limekuwa gumzo hadi vijijini, ambapo Basi dogo la Abiria linalofanya shunghuli ya kusafirisha abiria kutoka Mjini Ifakara , Wilayani Kilombero kwenda Malinyi, Wilaya ya Ulanga likiwa limeandikwa jina la mshambuliaji huo mahiri. Picha na John Nditi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...