Home
Unlabelled
Uzinduzi wa Sherehe za Miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani ni GPA na sio GPS, GPS ni Global Positionning System, kwa bongo bado
ReplyDeleteAnkali nimecheka kinoma, GPS badala ya GPA hii ni kali!!!
ReplyDeleteBy the way: GPS = Global Positioning System. Ni mfumo wa satelaiti unaokuwezesha kujua uko wapi kijiografia.
Na GPA = Grade Point Average. Ni mizani ya kupima ufaulu inayotumiwa na taasisi za elimu ya juu.
Inasikitisha kwamba katika habari yote hiyo kwa picha, kinachoonekana ni typing eror! Hivi hamna tiba ya fikra kama hizo?!
ReplyDeleteHongera UDSM kwa kutimiza umri wa kustaafu na Hongera Mdada kwa kutikisa Mlimani 4.5?!
hongera mdada kwakweli 4.5 iz not a joke,..haya miaka 50 down the line i hope viongozi wana mkakati zaidi ya kusherehekea yani wa improve uko halls of residence tumechoka kuning'ia vyooni looh
ReplyDeleteNakupongeza sana dada yangu japokuwa sijawahi kusikia GPA ya 4.5, ninachojua mimi GPA huwa inaishia 4.0 labda kwa Tanzania, kazi ipo kweli na huu utoaji wa PHD wakati chuo chenyewe hakitoi PHD
ReplyDeleteGPS???Naona karibia tunapaa. Nimejaribu GPS bongo mwaka jana 2009 ikawa hakuna ramani ya kudownload, location unknown ndio error nililopata. Halafu huyu mdada kapiga 4.5 out of 4?? LOL . Kichwa kitakuwa si mchezo hiki. Kweli Chuo Kikuu cha University ya Dar-es-Salaam kiboko. Ni chuo kikongwe kabisa africa, vichwa vyote muhimu vimepita hapo:
ReplyDeleteKuna kitu kimoja nashindwa kuelewa, hzi GPA za juu kwa bongo ni chache sana au hata hakuna wakati mwingine, lakini nchi kama India, bangladesh watu wanazo kibaoo je ni system yetu mbovu au za kwao ni mbovu(kupeana na za kununua?)
ReplyDeleteGPS Plus 4.5 OMG...Is real or Just Fununu As Usual...i guess 4.0 GPA...Unless Otherwise kama kawaida Bongo kisiwa cha wapendanao...!!
ReplyDeleteDada yetu kafanya vema sana. Ila GPA ya Bongo ni 5.0 (Maximum). Nakumbuka mwaka wetu nilipomaliza pale UDSM, maiaka kama 6 iliyopita, kuna watu 2 ninaowajua kwa majina, walikuwa na 4.5 na hawakupata hata kuwa T/A sababu mwaka huo watu walifikisha 4.8, 4.9 na moja ilikuwa 5.0
ReplyDeleteKwa mifumo ya mahali pengine, the highest (maximum) ni 4.0 na watu wanafikisha 4.0 kama mchezo. Ukibadilisha hiyo 4.5 kwa viwango vya mifumo ya 4.0, unaweza kukuta huyo dada ana 3.7.
HONGERA SANA DADA
Anko mithupu huyo mdada alipata G.P.A ya 4.7 na sio 4.5 kama ulivyoandika hapo juu
ReplyDelete