MAREHEMU AGNES KATHLEEN SHAURI

Miaka mitatu imepita tangu ututoke Dec 19 2007. Pengo uliloliacha bado halijazibwa na halitaweza kuzibika kamwe.

Unakumbukwa sana na mume wako Bishop Shauri, watoto wako wote, wakwe zako na wajukuu zako na ndugu zako wote.

Katika uhai wako uliwagusa watu wengi sana kwa wema na ukarimu wako, bado wanakuongelea na kukukumbuka sana.

Mungu azidi kukupumzisha hadi tutakapokutana tena.
Bwana alitoa na bwana alitwaa jina lake lihimidiwe.

-AMIN

Familia ya Shauri

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. You are forever missed. Endelea kupumzika kwa amani huko mbinguni

    ReplyDelete
  2. Rest in peace Bibi. I still remember your hoispitality when we came to Liuli with my late father.

    Dennis@USA

    ReplyDelete
  3. Rest in peace we miss you so much

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...