Miaka mitatu imepita tangu ututoke Dec 19 2007. Pengo uliloliacha bado halijazibwa na halitaweza kuzibika kamwe.
Unakumbukwa sana na mume wako Bishop Shauri, watoto wako wote, wakwe zako na wajukuu zako na ndugu zako wote.
Katika uhai wako uliwagusa watu wengi sana kwa wema na ukarimu wako, bado wanakuongelea na kukukumbuka sana.
Mungu azidi kukupumzisha hadi tutakapokutana tena.
Bwana alitoa na bwana alitwaa jina lake lihimidiwe.
-AMIN
Familia ya Shauri
Unakumbukwa sana na mume wako Bishop Shauri, watoto wako wote, wakwe zako na wajukuu zako na ndugu zako wote.
Katika uhai wako uliwagusa watu wengi sana kwa wema na ukarimu wako, bado wanakuongelea na kukukumbuka sana.
Mungu azidi kukupumzisha hadi tutakapokutana tena.
Bwana alitoa na bwana alitwaa jina lake lihimidiwe.
-AMIN
Familia ya Shauri



You are forever missed. Endelea kupumzika kwa amani huko mbinguni
ReplyDeleteRest in peace Bibi. I still remember your hoispitality when we came to Liuli with my late father.
ReplyDeleteDennis@USA
Rest in peace we miss you so much
ReplyDelete