President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete greets President Pierre Nkurunzinza of Burundi while their host Zambia’s President Rupiah Banda(centre) looks on shortly before the commencement of a special summit on illegal exploitation of natural resources held in Lusaka Zambia this morning.
Children welcome President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete with flowers in Lusaka shortly after he arrived in the Zambian capital to attend a special summit on illegal exploitation of natural resources. Photos by Freddy Maro of Ikulu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. MkandamizajiDecember 15, 2010

    "children welcomes'?....."arrived to"? Come on, get your english right, otherwise post in swahili ili tuepukane na aibu za kiprofeshenali kama hizi!

    ReplyDelete
  2. prizident wetu mh kikwete namkubali sana kwa kupiga pamba yani hizo suti zake zimetulia sana na yote kutokana na kuwa mjanja anajuwa kupangilia na mwili wake ni mzuri unakubali pamba sio kama yule mwingine jina kapuni...mh kikwete suti zinamkubali kama obama big up tz.

    ReplyDelete
  3. huyo rais wa burundi kweli kachoka yani yeye mwenzie anamsalimia yeye macho kwenye suti ya mh kikwete anaipigia mahesabu hajui kama mwinzie ni mtu wa pamba kali na kuruka viwanja usiku na mchana washikaji zake kina obama

    huyo raisi wa burudi akikutana na mh kikwete ndio anajiona kama kakutana na obama hehehe hongera mh kikwete kwa kujiweka nice.

    ReplyDelete
  4. hivi jamani hiyo picha ya kwanza raisi ameshika simu mkononi? au macho yangu

    ReplyDelete
  5. mie naona kama huyu jamaa wa burundi tunafanana kidogo, au unaonaje ankal?
    mdau wa ukerewe!

    ReplyDelete
  6. mdau anaeliza kuwa hiyo picha ya kwanza Mh.raisi kashika simu au laa

    jibu ndio ameshika simu raisi wetu ni mtu wa pamba na mapigo ya kisasa big up Mh.raisi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...