Balozi wa Tanzania nchini Canada Mh.Alex Massinda, akikata keki ya kuadhimisha miaka 49 ya uhuru wa Tanzania.
Viongozi wa jumuiya ya watanzania Ottawa TAO, katika meza kuu pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Canada Mh. Alex Massinda katikakuhadhimisha miaka 49 ya sherehe za uhuru Tanzania. kutoka kuliani ni mlezi wa jumuiya Bw na bi Mwakyambiki, mwenyekiti Dk. Zakaria Mandara, Balozi Mh.Massinda, Bw na Bi Bokango na mama Sokoine mwisho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...