
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria nchini Profesa Tolly Mbwette akionyeshwa maeneo ya mazingira yanayozunguka n majengo yaliyotolewa na mkurugenzi mtendaji kampuni ya kimataifa ya Investiment Solution Bw.,Michael Njumba (kulia).

Most read Swahili blog on earth
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria nchini Profesa Tolly Mbwette akionyeshwa maeneo ya mazingira yanayozunguka n majengo yaliyotolewa na mkurugenzi mtendaji kampuni ya kimataifa ya Investiment Solution Bw.,Michael Njumba (kulia).
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Yako wapi hayo majengo?
ReplyDeleteSasa mbona majengo hayaonekani?
ReplyDeleteMawe ndo Majengo ??!! Halafu Kyanyi ndo wapi?? Mbona nakaa Bukoba na sikujui hata kidogo?
ReplyDeleteJamani majengo walyopewa mbona hayako kwenye picha, je ni kweli wamepewa majengo au wamepewa kiwanja. Kama ni majengo basi wekeni picha za hayo majengo msije mkawa mnagawana nyumba za akina nshomile waliotoroka kwao. Weka picha ya jengo
ReplyDelete