Meneja Mauzo wa Kanda Kampuni ya Konyagi Bw. Narcius Ngaillo akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo ambapo wamedhamini kusafishwa kwa mazingira ya fukwe Bahari ya Hindi itakayofanyika kesho na Mgeni rasmi ni Mstahiki Meya wa Jiji Bw. Didasi Masabuli.
Ofisa Utalii wa Jiji la Dar es salaam Bi.Neema Kinyagu akizungumza akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo wakati wa utambulisho wao wa ufanyaji usafi katika fukwe ya Bahari ya Hindi utakaofanyika kesho katika fukwe hiyo.
Baadhi ya vibarua wa Mamlaka ya Bandari Tanzania 'TPA' wakifanya usafi pembezoni mwa ufukwe wa Bahari ya Hindi jijini Dar es salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Great job Neema! Hope you get it going ... I was wondering when anyone will realize that we are 'vandalizing' our nature..I hope this is just a start and not the end!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...