Kwa wale wanaokumbuka habari za msanii huyu ambaye alii-shoot video hii pale London na kutupatia picha za shooting yake leo hii video imekamilika na kwa hisani ya M2S(monsterz to society)group la ukweli nawaletea video hiyo ambayo imebeba jina la msanii huyo katika nyimbo inayoitwa JUNY

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. hahahah jamaa walipa kibali cha kushoot....safi kwa kutupigia debe mji wetu wa BARKING!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...