Ukizungumzia tasnia ya filamu za Kitanzania kwa kuwataja wanaharakati au wadau wanaooiinua na kuipigania filamu, ni nadra sana kuacha kuwataja waigizaji maarufu, vikundi vyenye majina makubwa, taasisi, vyama au makampuni.

Steven Kanumba "The Great", Vincent Kigosi "The Greatest", Suzan Lewis "Natasha", Charles Magari "Mzee Magari", Blandina Chagula "Johari" na wengine wengi, ni miongoni mwa waigizaji ambao ni lazima uwataje kama ukitakiwa kuwataja waigizaji "wanaipiga tafu" tasnia ya filamu nchini.

kwa taarifa kamili

BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...