Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Bernard Membe pamoja na ujumbe wa Tanzania wakati wa ufunguzi wa mkutano maalumu wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya uchumi kusini mwa AfrikaSADC unaofanyika katika mji mkuu wa Namibia Windhoek.

Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete(kulia) Rais wa Zambia Rupiah Banda(katikati) na Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe(kushoto) wakisimama wakati wimbo wa taifa wa Namibia na wimbo wa SADC ukipigwa wakati wa kuanza kwa mkutano maalumu wa Wakuu wa nchi za Jumuiya ya kiuchumi kusini mwa Afrika SADC uliofanyika katika mji mkuu wa Namibia Windhoek, leo asubuhi.Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 21, 2011

    Hivi Tz tunawezaje kukidhi matakwa ya SADC wakati huohuo tuko East Africa Community? Sisi kuwa ndani ya SADC ni bora zaidi kuliko kuwa na hao jamaa wenye wivu na maendeleo ya nchi yetu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...