| Kikosi cha timu ya soka ya wanawake , Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa, Umisseta ngazi ya Mkoa wa Morogoro |
| Kikosis cha timu ya soka ya wanawake , Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Umisseta ngazi ya Mkoa |
| Kikosi cha timu ya soka ya wavulana Halmashauri ya Wilaya ya Kilombero, Umisseta ngazi ya Mkoa |
| Kikosi cha timu ya soka ya wavulana Halmashauri ya Kilosa |
| Katibu Tawala wa Wilaya ya Morogoro, Alfred Shayo ( kushoto) akisalimiana na wachezaji wa timu ya soka ya Halmashauri ya Kilombero, Umisseta ngazi ya mkoa iliyoanz |
| Halmashauri ya Ulanga nao hawakuwa nyuma katika staili ya ushangiliaji Umisseta ngazi ya Mkoa |
| Hawa ni wachezaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero |
| Hii ni staili ya ushangiliaji wa wachezaji wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro |
| Hawa ni wachezaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Umisseta ngazi ya Mkoa |


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...