Hawa ni Watoto wa mitaani wanaojighulisha na shughuli za usafishaji wa vioo vya magari pindi yasimamapo katika mataa ya kuongozea magari.hawa wako pale kinondoni morroco na wengine wapo maeneo mengine ya namna hii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 23, 2011

    Bomu linalosubiri kulipuka. Serikali iendelee tu kukaa kimya. Wanakua haoo.

    ReplyDelete
  2. HUU NDIO UWEZO TULIKUWA NAO MTAJI WA MASKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE.
    SERIKALI AU WATU TULIOWAPA NAFASI ZA KUTETEA WATOTO WAO WANATANUA KWA HIYO HILO BOMU LIKILIPUKA INA MAANISHA TUTA AJILI ASKARI WENGI,AJIRA ITAONGEZEKA NA WAHESHIMIWA WATAPATA MAFAO MENGI KWA AJILI YA SEMINA NA MAPOLISI WATALIPWA OVERTIME NYINGI
    HAKUNA WA KUMJALI MWENZAKE TANZANIA MAANA WATU NI WABINASFI WANATAKA KILA MTU AKAIBE AU AKAWE FISADI TU KWAHIYO NDUGU ZANGU HAKUNA NAMNA YA KUWASAIDIA HAO WATOTO MAANA WAPO WENGI YATIMA UKITAKA KUJUA ULIZA IDADI YA WATOTO WA MTAANI NA JINSI GANI WANASAIDIWA UTALIA MIMI NATOA SADAKA YANGU KWA WATOTO YATIMA WAPO 50 LAKINI NIKILETEWA TAARIFA ZAO UNAANZA KULIA MAANA HAWANA MAGODORO WANALALA KWENYE MABOX,NINATAFUTA WATU WANGU WEUPE WANISAIDIE ILA WANASEMA MPAKA WAENDE KUWAONA,SIKU MOJA NILIMUULIZA MLEZI WA KITUO KWANINI USIMWONE MKUU WA MKOA UKAMWELEZA AKASEMA ALIISHA ONGEA NAYE NAZO NI STORY SIJUI TUTAFANYAJE UZURI WA sisi waTZ 80% hatujui mabaya na mazuri ndio maana nimeandika kwa asira naomba mnisamehe kama nimewahuzi maana naona uchungu sana

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 24, 2011

    Kuna wengine wengi tu wanaishi pale round about ya barabara ya uhuru kariakoo karibia na kongo mtaa. Ile sio round about tena ni kijiji cha vijana watoto wa mitaani hadi maua dhaifu yaliyokuwepo yamekanyagwa saizi ni tambarare.Mimi sina uwezo ila naandika humu ili vyombo vinavyohusika viweze kulichukulia uzito suala hili maana watoto wa mitaani wanahangaika na kila mmoja anahitaji mahitaji kama watoto wengine wa majumbani. Ni aibu kwa taifa letu ukiwakuta pale, wameibuka pale wana kama mwezi sasa hivi kma sikosei. Uwezo wa kwenda shule wanao ila ni matatizo mbalimbali yaliyowakumba ikiwa na kufiwa na wazazi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...