Afisa Habari wa Idara ya Habari(MAELEZO) akitoa ufafanuzi jana Mnazi mmoja jijini Dar es salaam kwa wananchi waliotembelea banda la Idara hiyo kwa ajili ya kujifunza shughuli mbalimbali wanazitekeleza katika utmishi wa umma kwa kipindi cha miaka 50 iliyopita. Wananchi hao ni miongoni mwa watu walioshiriki wiki ya utumishi wa umma.
Wananchi mbalimbali wakiangalia kitabu cha picha za historia za sherehe ya uhuru wa Tanzania Bara(Tanganyika) jana Mnazi mmoja jijini Dar es salaam katika Banda la Idara ya Habari (MAELEZO).Picha na MAELEZO-Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...