Kutoka kulia nyuma: Producer Ally Muhdin, Berry Black,
Chemical, wa chini kulia Babiy Cee na Juny Man
Berry Black akiwa katika ziara yake nchini Uingereza. The King Of Zenji Flava Berry Black alipata nafasi ya kushirikiana kikazi na kundi moja kali la M2S lenye makao makuu yake jijina London Uingereza, linaloundwa na The 5 Star General Juny Man, Babiy Cee na Chemical. Na hii ni baadhi tu ya kazi zilizofanyika leo. The making of UMEKWENDA chini ya producer Ally Muhdin wa jijini London, Uingereza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...