Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda  akisalimiana  na  Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP),  Bw. Ronald Sibanda ambaye alikwenda kuaga ,baada ya kumaliza muda wake wa kazi  Bungeni  Mjini Dodoma leo
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda  akizungumza na  Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Chakula Duniani (WFP),  Bw. Ronald Sibanda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...