Mwaka 2000, Ivan Marovic na rafiki zake waliongoza harakati zisizo na mapigano au vurugu ambazo hatimae zilimwondoa madarakani dikteta wa Kiserbia, Slobodan Milosevic.

2011, Marovic alishiriki kama profesa Narco News School of Authentic Journalism ambako alifundisha wanafunzi toka sehemu mbalimbali duniani kuhusu ya mkakati wa“dilemma action” unapokabiliana na dola.

Wanafunzi na Maprofesa toka kwenye kundi la video, lililohusisha Nathan Mpangala, Katie Halper, Daryn Cambridge, Leslie Askew, Kevin Mwachiro and Maria Dayton walitengeneza video hii. Video hii inathibitisha kwamba, pingamizi za kijamii(ambazo zinaripotiwa kwenye vyombo vya habari) zinaweza na zinabidi ziwe na ucheshi ndani yake!

Kazi ya sanaa ya mkono inayooonekana katika video hii ni ya mchoraji katuni za kisiasa toka Tanzania, Nathan Mpangala, aliyekuwa mmoja wa wanafunzi wa School of Authentic Journalism, 2011

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 20, 2011

    Ankal umevutiwa nini hasa na hii video?

    Naona inajirudiarudia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...