Simba ilikuwa nyuma kwa goli 1-0 goli ambalo Kipa Juma Kaseja aliokoa shuti ya Motema Pembe kwenye chaki na refa akaonesha kati akisema ni goli katika kipindi cha kwanza. Baada ya mapumziko Motema Pemba wanapata bao la pili dakika ya 57
Huko Nigeria mabao ni kama huko DRC ambapo Vijana wa U-23 wako nyuma kwa bao moja na pia ni mapumziko sasa.
simba tumefungwa goli la pili kizembe dak 15. 2nd half
ReplyDelete.......vijana stars imepigwa 3-0, na simba mpaka sasa imepigwa 2-0
ReplyDeleteTimu ya vijana ni nzuri sema kocha wake hana viwango, Julio, wakutoka ...anaongea sana!
simba nao, ni bora walivyokuwa na Phiri, Huyu mganda anawapotezea!!!
Simba imetolewa 0-2
ReplyDeletekiwango bado hamna tunacheza kwenye vyombo vya habari sisi washindi
ReplyDeleteWhat's up with final scores????
ReplyDeleteSababu zimeshaanza, oo! liliokolewa! Na la pili Je? OO! Saababu ya lile la kwanza, Mara ooo! walitufanyia fitna...Mpira kana kwamba mpira unachezwa kwa mdomo!
ReplyDeleteTanzania wamelala 3-0. Michuzi naona unaogopa ku-update news. Nigeria wamesonga mbele kwa 3-1 aggr.
ReplyDeleteMkuu wa Libeneke mbona ume-mute matekeo ya hizo timu zetu? Inamaana mpira haujaisha mpaka saa hii? Tuambie tu hata kama tutapata machungu. Tumeshazoea mbona.
ReplyDeleteBora Simba wametoka maana fitina zao dhidi ya TP Mazembe zilikuwa za kitoto sana.
ReplyDeleteNdio kusema Simba wametolewa kwa mara ya 3 mfululizo katika michuano ile ile ndani ya mwaka mmoja au? Kwanza na TP Mazembe, pili na Wydad Casablanca, na tatu na DC Motema Pembe, si ndio? Hii si rekodi mpya katika michuano duniani kwa upande wa soka????
ReplyDeleteDuh, aibu kwa Tanzania, yaani hata jitihada za utalii zinazofanywa kwa kutumia pesa inayotokana na kodi za wananchi hazizai matunda kwa taswira mbaya mbaya kama hizi kwa taifa. Kwenye michezo ovyo, burudani (hasa BBA) mikosi, na siasa ndio uozo kabisa!
INANIUMA SANA HATA KUONGELEA SUALA HILI....bora kulia tu na kunyamaza!!...kila mwaka timu hazisongi mbele....bullshit kabisa!!
ReplyDeletesimba kwishni
ReplyDeleteHaha ha ha ! duh! jamaa wa takwimu nakukubali. Ni kweli Simba wametoka tena kwa aibu kubwa sana. jumla ya goli walizopigwa ni nyingi sana. pole zao na hao wanaomwona Kaseja kipa na kummwagia sifa kila siku. wenzake wakishaona hivyo wanahama timu. yeye anang'ang'ana kwenye timu hiyo ambayo ni mbovu. Kwa kweli Simba mmetutia aibu watanzania. sasa njooni kwenye Kagame Cup mfanye fitna zenu.
ReplyDeleteIla mkiweza Kateni Rufaa kama kawaida yenu. kama hamna hoja nawadokeza kama mlivyozoea kudokezwa, REFA alikuwa kanywa bia 2 za baridi. haya kateni Rufaa kama kawaida yenu! watu weeeeeeeeweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
Timu ya vijana poleni. watanzania wote tupo pamoja nanyi. mjipange kwa tukio lingine.