Home
Unlabelled
yale yaleeeeeee....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Pole mtanzania, nasi tuna tatizo kama hilo maeneo ya Gezaulole, Kigamboni, Michuzi namimi nitakutumia picha za eneo zinazoonyesha uharibifu unaofanyika na hatua tulizochukua.
ReplyDeleteThis is sinful
ReplyDeleteMan is so destructive of his own environment, and mismanages natural resources.But there must be laws and regulations that make sure that such acts do not take place, there must be agencies that protect the environment, as somebody said, even in Tanzania.
I have faith Michuzi will alert the concerned
Wakatabahu
MICODA big up kwa sana kwa jitihada za kukomesha uharibifu wa mazingira. Nakumbuka kuna issue kama hiyo iliwahi kujitokeza eneo la Bunju A miaka ya nyuma kwenye shamba la mzee mmoja. Alifanikiwa kukomesha tabia hiyo kwa fundisho kuu! Alichokifanya ni kuchimba shimo kubwa kwenye njia ambayo malori yalikuwa yakipita katikati ya shamba lake...kisha akalirunika kwa miti milaini na kuweka majani makavu juu yake pamoja na maeneo yanayolizunguka shimo hilo. Siku ya siku Fuso tani 7(a.k.a bajaji) ikawa inaingia usiku kuchota mchanga ..tahamaki gari zima likadumbukia kwenye lile shimo la mtego basi hapo ndiyo ikawa mwisho wa kuchimba mchanga eneo hilo. Kwangu niliiona hiyo ni effective method ya kuhakikisha uharibifu unakoma maana hadi leo hajathubutu mtu kusokelea shamba lile!!!
ReplyDelete