WAJUMBE wa baraza wakiwa katika eneo la jengo la baraza kulia Mjumbe wa Kuteuliwa Ali Mzee Ali na Mwakilshi wa Tumbatu Omar Haji Kheri.
 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa  Rais Mohammed Aboud Mohammed akizungumza na Salim Abdalla Hamad(Mtambwe)wakiwa nje ya ukumbi wa baraza.
 WAZIRI wa Ardhi Makaazi Maji na Nishati Ali Juma Shamuhuna akimsikiliza kada wa Chama cha Mapinduzi Mohammed Moyo
 MWAKILISHI wa Mji Mkongwe Ismail Jussa akisisitiza jambo na wajumbe wazake wakiwa nje ya ukumbi wa Mkutano baada ya kikao cha asubuhi kumalizika.
 MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idd akimsikiliza Mwakilishi wa Magomeni Salimin Awadh wakibadilishana mawazo.
WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wakimsikiliza Mwandishi Mkongwe Salim Said akisisitiza jambo.
 WAZIRI wa Wizara ya Kazi  Uwezeshaji Wananchi  Kiuchumi na Ushirika  akipongezwa na Wafanakazi wa Wizara hiyo kwa kupita kwa Bajeti ya Wizara yake. Picha Zote na Othman Maulid-Zanzibar

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 22, 2011

    duh huyu salim said salim ndio alivozeeka hivi si mchezo anakua mfupi zaidi enzi \zetu tulikua tukimwita Father maka (makanda) maana tukicheza mpira nje kwake hutufukuza na mikanda ,na watoto wake anawafungia ndani tusicheze nao

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...