Redds Miss Temeke 2011,Husna Twalib akiwa na milioni 2 mkononi
 alizokabidhiwa kama zawadi yake ya kutwaa taji hilo.
Mkurugenzi wa Jambo Concepts,Benny Kisaka ambaye pia ni mratibu wa shindano la Redds Miss Temeke, akimkabidhi Sh milioni 2 Redds Miss Temeke 2011,Husna Twalib katika ofisi za gazeti hili. Jambo leo ilikuwa moja wa wadhamini wa shindano hilo lilofanyika mwishoni mwa wiki.
Washindi watatu wa kwanza wa shindano la Redds Miss Temeke 2011 ambao wataiwakilisha kanda hiyo kwenye shindano la Vodacom Miss Tanzania wakiwa wameshikilia vitita vya pesa baada ya kukabidhiwa jana. Kutoka kushoto mshindi wa tatu,Mwajabu Juma,mshindi wa pili Cynthia Kimasha na mshindi Husna Twalib.
Warembo Cynthia Kimasha(kushoto)na  Husna Twalib wakisoma gazeti la Jambo Leo walipofika kwenye ofisi za gazeti hilo jijini Dar es Salaam. 
Picha zote na Richard Mwaikenda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Kwanini wasipewe hundi, au risiti ya kuonyesha kuwa pesa ziko bank?badala ya fedha taslimu hadharani?

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 22, 2011

    Si wangewapa cheki jamani au mnataka vibaka wawaibie?

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 22, 2011

    bongo tambarareeee.hela nje nje. ila warembo wetu wana bank account? manake tusiangalie upande mmoja wa shilingi. Na pia TZ watu wamezoea kutembea na hela za kumwaga bila wasiwasi wowote. nenda sehemu za starehe ndo utajua watu wanatembea na mabulungutu ya fwezaaaa.

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 22, 2011

    Nchi yetu bado biashara hazijakubali kupokea hundi au credit/debit card hivyo cash kwa kwenda mbali. "Show me the money"!

    ReplyDelete
  5. AnonymousJuly 22, 2011

    why they dont give them a chq? looks cheap like that!

    ReplyDelete
  6. AnonymousJuly 22, 2011

    mimi mwenzenu naangalia kufuli nyie bakini tuu na hela hela mambo yako kwa jamuuu lazima uwe sukununu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...