Taswira ya karibu inayoonesha Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya linalojenwga upya baada ya kuteketea kwa moto miaka ya hivi karibuni
 Hizi ni taswira mbali mbali zinazo onesha jinsi ujenzi wa soko kuu la Mwanjelwa jijini Mbeya ulivyosimama. Ujenzi ulianza kwa kasi lakini kwa sasa hakuna kinacho endelea. Miezi kadhaa iliyo pita jengo hilo lilibomoka wakati wanaendelea na ujenzi. Tutaendelea kuwafahamisha zaidi juu ya swala hili

HUU NDIO UBUNIFU WA DARAJA LA JUU KWA WATEMBEA KWA MIGUU WA JIJI LA MBEYA ENEO LA MWANJELWA MIAKA MIWILI IJAYO KAMA ULIVYOBUNIWA NA TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA. 

Picha zote na-Mbeya yetu Blog

SWALI NI JE ITAWEZEKANA? IKIWA SOKO TUU LINASUASUA NA LIPO 

BARABARANI ENEO WANALO TAKA KUWEKA KIVUKO HICHO? 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kujenga juu kivuko cha miguu sio kazi au gharama kiivyo, ukilinganisha na ujenzi wa soko. Tatizo, je watu watapita juu ya hicho kivuko, au itakuwa ni sehemu ya watu kushangaa magari kama ilivyo kwa manzese?

    ReplyDelete
  2. haya sasa ahhh!!1111 sisi tunataka kijana mwenzetu mvuta bangi mwenzetu sasa yuko wapi sugu hiol linatokea mbele yake alikua anawaimba wengine kama hawawezi sasa mbona na yeye kashindwa kaproject kadogo tu kama hako shem on yu sugu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...