Bonventure Kilosa "Dj Venture" akiwa na mai waifu wake Benadina huku wakionyesha nondozz zao mara baada ya kumeremeta leo kwenye kanisa la Mtakatifu Martha lililopo Mikocheni B,jijini Dar.
Dj Venture akimwanga wino kwenye Nondoz ya ndoa mchana wa leo.
Shemeji nae akimwaga wino huku Dj Venture akimcheki kuhakikisha hakosei.
Venture akila kiapo cha ndoa.
Maharusi wakijadiliana jambo.
Maharusi na wapambe wao wakiwa kanisani.
picha ya pamoja.
Hongera Bon, hongera Bena(BB!)..Kuanzia sasa Bon angalia sana matumizi ya simu yako ya mkononi(nimo kwenye 'ndoano' mwaka wa kumi sasa....)..nadhani utakuwa umenipata ninachotaka kukueleza.
ReplyDeleteNi mimi David V
hawa maharusi wamependeza ila saa zote wanaonekana kama wamekashika. walikuwa hawako tayari kwa hii harusi au vipi.
ReplyDeletehongera saaana venture kwa kumpata my wife wa ukweli, Mungu awabariki mdumu katika pendo.
ReplyDeleteWhy no smiling faces Venture?
ReplyDeleteKaka Venture hongera nyingi sana kwa kufunga ndoa.
ReplyDeleteSalamu kutoka
Japan.
Mnataka acheke na wakati kaoa mchagga? Hapo hakuna kucheka ni kuwa macho tu! Haibiwi mtu!
ReplyDeletePicha ya tatu kutoka chini...
ReplyDeleteVenture: Nimeshakwambia mi sifungui dansi kwa kiduku, labda alaadji au alamba alamba aaauumm! Umenisikia mama nanihii au unajifanya uko bize?
Am jusplayiwitchu kaka, hongera sana mkubwa! God bless this union!