Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mke wa Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanga, Frida Mdolwa katika sherehe za Kumweka wakfu Askofu wa Dayosisi hiyo, Mahimbo William Mndolwa (katikati) zilizofanyika kwenye viwanja vya Chuo cha Ualimu cha Korogwe
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican nchini, Valentino Mokiwa (kulia) katika Ibada ya kumweka wakfu Askofu Mahimbo William Mdolwa (kushoto ) wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya Tanga iliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo cha Ualimu cha Korogwe
Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican nchini, Valentino Mokiwa (kati) akiangalia wakati Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na Askofu Mahimbo William Mdolwa .
Picha na mdau Hilary Bujiku wa Ofisi ya Waziri Mkuu
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...