Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mke wa Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Tanga, Frida Mdolwa katika sherehe za Kumweka wakfu Askofu wa Dayosisi hiyo, Mahimbo William Mndolwa (katikati)  zilizofanyika kwenye viwanja vya  Chuo cha Ualimu cha Korogwe
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza  na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican nchini, Valentino Mokiwa  (kulia) katika Ibada  ya kumweka wakfu Askofu  Mahimbo William Mdolwa  (kushoto ) wa Kanisa la Anglikana, Dayosisi ya  Tanga iliyofanyika kwenye viwanja vya Chuo cha Ualimu cha Korogwe
Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican nchini, Valentino Mokiwa  (kati) akiangalia wakati Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza  na Askofu  Mahimbo William Mdolwa .
Picha na mdau Hilary Bujiku wa Ofisi ya Waziri Mkuu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...