Yusuf Bana wa Yanga  (shoto) akijaribu kumkaba Zamoyoni Mogella wa Simba huku Muhidin Cheupe akisogea kusaidia wakati wa mmoja wa michezo mingi ambayo Mogella aling'ara na kustaafu akiwa nyota asiye na mfano nchini. Mwenye data zaidi msaada tutani

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. ZIDANE WA TANZANIA

    ReplyDelete
  2. Malota Soma "Ball juggler" anaonekana kwa mbali akiangalia kinachojiri toka kwa golden boy...

    ReplyDelete
  3. kwa mbali namuona mallota soma ball juggler!!!!!!

    ReplyDelete
  4. Hiyo picho niliwahi kuiona kwenye Gazeti la Uhuru miaka hiyo(Picha na Mwalimu Omar,Muhidin Michuzi,Madanga S.Madanga n.k) lakini sasa nimeiangalia vizuri huyo mbona huyo Muhidin michuzi kavaa safari boot na hana soksi kama za Bana,halafu kule kwenye Background wachezaji wengine wapinzani wa Yanga hawana soksi kama za Mogella,Tshirt ya Mogella ina puma wale wengine naona li-duara jeupe.What is going on here?Photo 7?

    David V

    ReplyDelete
  5. Hivi Mogella bado yupo jamani? sikuwahi kukutana naye ila nilimsikiliza sana redioni. Kweli alikuwa analitandika. na Method Mogella je? yuko wapi.

    Mpira zamani ulipendeza, na uwanja wa taifa ulikuwa unajaa sijawahi ona

    ReplyDelete
  6. Uzuri wa mogela ni umahiri wake uwanjani na tabia yake nje ya uwanja wa soka. Ni mfano wa kuigwa.

    ReplyDelete
  7. nilichogundua ni kuwa jezi ya Zamoyoni ilikuwa tofauti na wenzake. hebu angalia vizuri.

    ReplyDelete
  8. Hapo kati ni Muhidin Cheupe or?

    ReplyDelete
  9. YANGA TULIFANYA KOSA KUBWA KUMDHARAU MOGELA,ZAMOYONI ALICHEZEA YANGA KABLA YA SIMBA,KWENYE FAINALI YA KOMBE LA MWENGE WILAYA YA ILALAUWANJA WA KAUNDA YANGA B NA CONGO UNITED(SHETANI WEKUNDU) ZILTINGA FAINALI ZILITOKA SARE MARA 2,MCHEZO WA TATU MOGELA ALIKUJA KUWATEMBELEA HASHIM KAMBI NA FADHILI RASHIDI WACHEZAJI WA YANGA,KAMA MCHEZAJI MWALIKA WA YANGA B YANGA TULISHINDA 3-1 BAO ZOTE ALIPIGA MTALAMU HUYO GOLDEN BOY.WAKATI HUO SIMBA ILIKUWA INAMFUKUZIA MALOTA SOMA.HATA HIVYO MOGELA KWA MAPENZI YAKE ALIMALIZIA KIPAJI CHAKE YANGA.MPAKA SASA BADO TAIFA HATUJAPATA WA KUVAA VIATU VYAKE.

    ReplyDelete
  10. huo ndio mpira sio huu wa sasa wa chips yai unaona wazee walivyoshiba hata asukumwe vipi aendi chini,

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...