Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa benki ya CRDB, Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa akishukuriwa na mkuu wa shule ya Msingi ya wasichana ya St. Aloyius, Sista Reena Mathias kwa ajili ya kusaidia maendeleo ya shule hiyo wakati wa mahafali ya kwanza ya darasa la saba yaliyofanyika shuleni hapo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam. |
Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa benki ya CRDB, Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa, akicheza jive na wahitimu wa darasa la saba chuoni hapo |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...