Salam,
Dr Julie Makani kutoka Tanzania amepokea Tuzo jumanne tarehe 18 octoba 2011 ya Royal Society Pfizer nchini Uingereza.
Dr Makani amepokea tuzo hii ya utafiti alioufanya katika gonjwa hatari la Sickle Cell (SCD) ambaye makazi yake ya kazi ni kwenye Chuo Kikuu Cha Afya na Sayansi cha Muhimbili katika idara ya Haematology.
Kutokana na utafiti wake kumeonekana ushahidi kuwa, chanzo kukuu cha magonjwa na vifo vitokanavyo na sickle Cell nchini Tanzania husababishwa na Anaeimia (upungufu wa damu)
Dr Makani pia amefanya mchakato wa matibabu katika majaribio ya Hydroxyure chemotherapy agent inayo gusa Bone marrow katika matibabu ya Anaemia kwenye ugonjwa Sickle Cell
Ni matumaini yake kuwa utafiti huu utapelekea kuboresha uchunguzi na matibabu ya ugonjwa huu ili kuweza kuimarisha afya za watu, mfumo mzima wa afya na jamii kwa ujumla.
Kwa niaba ya Watanzania wote Urban Pulse
tunapenda kumpongeza DR Makani kwa mafanikio hayo.
Asanteni
Urban Pulse Creative
Dk. Julie Makani Akipokea Tuzo yake
Dk. Julie Makani akiwa na wadau waliofika kumpongeza
Dk Julie Makani akiwa na wazazi wake Mzee Bob Makani na Mama Vicky Makani
Dk. Julie Makani akiwa na familia yake
Wageni waalikwa kwenye Royal Society Pfizer Awards London |
Kutoka Kulia Balozi wetu Uingereza Mh Peter Kallaghe, Mama Makani, Dk. Makani, MP O'Brien, Naibu Balozi Chabaka Kilumanga na Bw. Simba
wow well done Dr. Makani...I am so proud of you..
ReplyDeletethanks
from..one of your patients.. JM
Good job, keep it up!
ReplyDeletealso from parent of a sickler child who normally attended your clinic. TZ
kazi nzuri dokta julie bob makani,bila shaka huu ni udokta uliotukuta,sio kama doktas waliojaa,kwenye siasa kwenda kuiba.
ReplyDeleteWell done Dr Makani, we are so proud of you.
ReplyDeleteHongera sana Daktari. Inadhihirisha kwamba YES WE CAN.
ReplyDeleteKeep it up Doc we are really proud of you hata kama nilikuwa sikufahamu hapo kabla.
Well done, the tanzanians who think
ReplyDeleteyou can not do great things in your country think again, total respect and suport for the great DR
Great job Dr. Julie so proud of you my daughter...auntie Bite
ReplyDeleteJulie,
ReplyDeletePongezi tele, Dakrari! At long last your great work has been acknowledged, by the Royal Society...way to go! More ahead...no doubt. Congrats. So, happy for you!
Chris Olola