Mgeni rasmi akisalimiana na wachezaji leo Kikosi cha timu ya Magorofani ambacho leo kimetoa kipigo cha mabao 3-2 kwa Sengo FcKikosi cha Sengo Fc ambacho kimeambulia kichapo cha mabao 3-2 leoKatibu mkuu wa chama cha soka mkoa wa Iringa (IRFA) Eliud Mvella Wamahanji akifungua rasmi ligi ya Taifa ngazi ya wilaya kwa Manispaa ya Iringa leo katika uwanja wa Samora. Picha na mdau Francis Godwin
Mgeni rasmi akisalimiana na wachezaji leo Kikosi cha timu ya Magorofani ambacho leo kimetoa kipigo cha mabao 3-2 kwa Sengo FcKikosi cha Sengo Fc ambacho kimeambulia kichapo cha mabao 3-2 leoKatibu mkuu wa chama cha soka mkoa wa Iringa (IRFA) Eliud Mvella Wamahanji akifungua rasmi ligi ya Taifa ngazi ya wilaya kwa Manispaa ya Iringa leo katika uwanja wa Samora. Picha na mdau Francis Godwin
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...