Popote anapopita na ride yake ya nguvu, mwanamuziki wa African Beats na bingwa wa kupuliza saxphone Mafumu Bilali Bombenga amekuwa kivutio cha aina yake. Hapa ni katika viwanja vya Leaders club jijini Dar alipojumuika na wapenzi wa michezo na muziki kuburudika na Twanga Pepeta na kuangalia mechi ya soka
 Hana wasiwasi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Duh, huyu jamaa lazima atakuwa Msukuma maana ndo zao hizi kurembesha baiskeli.

    ReplyDelete
  2. Utawala wa sheria.Yaani huyu bwana kisa ni mwanamuziki hivyo kwake RUKSA KUVUNJA sheria.Kuendesha pikipiki bila kofia ya usalama(helmet)..
    Polisi wakimuona hawamkamati.Kesho akionekana mtu mwingine bila helmet anakamatwa.

    Bado tunasafari ndefu sana ktk hili la usalama wa barabara..Sheria zichukue mkondo wake bila kujali nani

    ReplyDelete
  3. Naona anazitangaza marekani na jamaica, tanzania je? any way kipenda roho, Amejitahidi kuiwekea nakshi ride yake, imependeza. Mbunifu wake nampongeza nahitaji kupata namba yake ya simu ili nami anipambie ya kwangu kwa kulitangaza jina la nchi yangu.Safi sana babaa bombenga!

    ReplyDelete
  4. Naona amevaa Element badala ya Helmet

    ReplyDelete
  5. "hii yote niko sa la mama alimlaa mapwema"HAYA YAMO KWENYE SONGI LAKE maya JAMAA KAIMBA SANA HUMO SIKILIZA UTAPATA UJUMBE MZITO WA MAPENZI -BIG UP papaa mafumu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...