Wananchi mabalimbali wakisali sala ya maiti ili kumuombea Marehemu Septi Suleiman aliefariki leo katika Hospitali ya mnazi mmoja huko Zanzibar.
Wananchi mbalimbali wakiwa wamebeba mwili wa aliekuwakatibu mtendaji wa Tume ya Utangazaji zanzibar na mwanahabari mkongwe Marehemu Septi Suleiman ambae amezikwa huko kijijini kwao Mwera kichokani.Marehemu Septi Suleiman amezikwa katika makaburi ya familia huko mwera kichokani leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. INNALILLAHI WAINNAILAYHI RAJIUUN MWENYEZI MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU PEMA PEPONI. AMEEN

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...