SERENGETI FREIGHT FORWARDERS
WAZEE WA KAZI
WAKURUGENZI WA SERENGETI FREIGHT

WAKISHIRIKIANA NA 
MISS JESTINA GEORGE BLOG 
BRIGHT FUTURE TZ 
PAMOJA NA
URBAN PULSE
WANAJUMUIKA NA WATANZANIA WOTE WAISHIO UK KUWAPA POLE WATANZANIA WOTE WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO YALIYOTOKEA JIJINI DAR
TUNAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE MUISHO UK
HAREMBEE ITAFANYIKA TAREHE 7 JANUARY 2012, 
THE PIT STOP 'UWANJA WA NYUMBANI'
721 RIPPLE ROAD
BARKING
IG11 0SN 
KUANZIA SAA NANE MCHANA (2PM-LATE) 
UNAKARIBISHWA KULETA CHOCHOTE ULICHO NACHO UTAKACHO ONA KINAWEZA KUSAIDIA HAWA NDUGU ZETU WALIOKUMBWA NA KUATHIRIKA NA MAFURIKO. 
AU 
KAMA KUNA MTU YOYOTE ANATAKA KUTOA MSAADA AULETE OFISINI KWETU (SERENGETI FREIGHT) NA TUTASAFIRISHA KWENDA DAR BURE
TUNA WAREHOUSE KUBWA ZA KUHIFADHIA MISAADA YA UKUBWA WOWOTE
LETE MAGODORO NGUO MASUFURIA MICHELE, SABUNI, MAFUTA, SUKARI NA N.K KILA KITU KITAPELEKWA
KWA MAWASILIANO ZAIDI KUHUSU MISAADA WASILIANA NA
JESTINA GEORGE 07404332910
FRANK  EYEMBE 07865594576
BARAKA NYAMA 07816981577 

KAMA UNA MCHANGO UNAWEZA KUDEPOSIT KATIKA ACCOUNT IFUATAYO:
BARCLAYS BANK
JINA: TANZANIA ASSOCIATION LONDON Account Number: 23374815 
Sort Code: 20-72-89 
ANDIKA JINA LAKO NA MAFURIKO AS REFERENCE

TUNAWASHUKURU NYOTE KWA KUJALI NDUGU ZETU
Contact us for more info;
CHRIS LUKOSI 07903828119 
SIMON LOUIS (MOHSIN) 07950689243
BRIAN (BABA NJOROGE) 07795160757
HASSAN (RICHARD) 07405159255
HQ -  UNIT 92 THAMES INDUSTRIAL PARK, PRINCESS MARGARET ROAD, EAST TILBURY, RM18 8RHRH
UPDATE 
KWA WALE WAKAZI WA MIKOANI WENYE VIFURUSHI NA MGEPENDA KUCHANGIAILA KUFIKA ITAKUWA TAABU TUNAOMBA MUWASILAINAE NA HAWA WAFUATAO  
READING: NDUGU BERNARD CHISUMO  (07876126862) 
MILTON KEYNES NA SEHEMU ZA KARIBU: NDUGU FADHIL DADDIA (07944104289)
MIKOA MINGINE BADO TUNATAFUTA WAWAKILISHI TUTAWAJULISHA MARA TUWAPATAPO. 
ASANTENI SANA NA MUNGU AWABARIKI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. WANDUGU HUKO UK Ahsanteni kwa mkono wa pole kwa msaada wenu wa mafuriko!

    ReplyDelete
  2. Hivyo ndivyo watanzania wanatakiwa kuwa, amani na upendo wa kweli huonyeshwa kwa vitendo na si kwa maneno. Hongereni katika hili na Mwenyezi Mungu awaweze katika kulitekeleza imani ya dhati

    ReplyDelete
  3. Mission impossible

    ReplyDelete
  4. Hawa watu wasanii tu mizigo us kulipia haifiki ndio itafika ya bure?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...