Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Taifa la Hifadhi za Jamii (NSSF),Dkt. Ramadhan Dau akizungumza wakati wa mkutano wa pili wa wadau wa NSSF ulioanza rasmi asubuhi ya leo katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa AICC,jijini Arusha.
Mkurugenzi Muendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi za Jamii (NSSF),Crescentius Magori akitoa mada mbali mbali za kikao cha kwanza cha Mkutano wa pili wa Wadau wa NSSF ulioanza rasmi asubuhi ya leo katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa AICC,jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Mkutano wa pili wa Wadau wa NSSF,Omari Ayoub Juma (wa pili kushoto) akizungumza wakati wa mkutano huo ulioanza rasmi asubuhi ya leo katika ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa AICC,jijini Arusha.Wengine pichani ni kutoka kulia ni Waziri wa Kazi,Mh. Gaudencia Kabaka,Mwenyekiti wa Bodi ya NSSF,Aboubakar Rajab na Mkurugenzi Mkuu wa NSSF,Dkt. Ramadhan Dau.
Waheshimiwa Wabunge pia wapo kwenye mkutano huu.
duuu na wabunge wamezifungia safari na posho za huko,hawa jamaaa no noma,kauli mbiu yao nadhani ni posho kwanza
ReplyDeleteanony Wed Feb 01, 01:44:00 PM 2012 tena wabunge ndio waliojaza ukumbi.
ReplyDeleteHongereni sana NSSF kaka Dr.Dau tunakushuru kwa muongzo makini.kulifikisha hapa shirika.
ReplyDeleteMdau Baba Jesca.
Lewisham.UK