Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha East Africa TV, Allan Lucky Komba ambaye pia ni Rais wa wanafunzi a.k.a SKONGA akiwa na mai waifu wake Haika Samweli mara baada ya kuungana (kufunga ndoa) kuwa mwili mmoja katika hafla ya ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki hii katika ukumbi wa The Stalion jijini Dar es Salaam.
Allan Lucky Komba akila kiapo cha ndoa iliyofungwa mwishoni mwa wiki hii katika ukumbi wa The Stalion jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Best man wa Bw. Harusi,Banana Zorro na kulia ni Mai waifu wake Allan Lucky,Bi. Haika Samweli.
Bibi Harusi Haika Samweli akila kiapo cha ndoa.
Mdau Allan Lucky Komba na Mai waifu wake Haika Samweli wakipokea nondozz zao za ndoa toka kwa afisa wa Serikali.
Maharusi wakikata Cake.
Maharusi wakiwa hai tebo.
Ndugu, jamaa na marafiki waliohudhuria ibada ya ndoa hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. Hongereni sana...Mungu awabariki

    ReplyDelete
  2. hongera my broo Lucky,Mungu awabariki sana

    ReplyDelete
  3. MAHARUSI MMETOKELEZEAAA ;))

    ReplyDelete
  4. hongereni sana,nawatakieni maisha mema,nice couples,bi haruc mashallah

    ReplyDelete
  5. hongereni sana,nawatakieni maisha mema,nice couples,bi haruc mashallah

    ReplyDelete
  6. Alan your too young to marry kweli utavumilia au ndo???

    ReplyDelete
  7. hongera Allan na mke wako. Kipindi chako kizuri naa wewe ni mbunifu. tunawatakia maisha mema

    ReplyDelete
  8. Hongereni sana wapenzi mtaweza tuu kwani ndoa ni kuzidisha upendo tuu ndio silaha.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...