Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akijadili jambo na mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Mhe. Jaji Lubuva ambaye alimtembelea Spika kwa lengo na kubadilishana nae mawazo Ofisini kwake Bungeni, mjini Dodoma.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akijadili jambo na mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Mhe. Jaji Lubuva (Katikati) wakati alipofika kwenye Ofisi za Bunge mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Mhe. Hamid Mahamoud Hamid. Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...