Hiki ndio Kibao kilichopo katika eneo hilo mara baada ya kutembezwa kwa nyundozz katika nyumba zilizokuwepo eneo hili la Magombeni Kanisani,kupisha mradi mpya unaotaraji kuanza hivi karibuni.
Nyumba zoote zimekula nyundo katika eneo hili,imebaki miti tuu.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 8 mpaka sasa

  1. bongo ilipendeza kuwa na maeneo ya wazi kama hayo bila hata mambo ya kupita barabara

    nakumbuka zamani kulikuwa na viwanja au maeneo ya wazi mengi pale shule ya uhuru mchanganyiko kulikuwa na maeneo ya wazi na badae yamejengwa

    kidongo chekundu siku yoyote utasikia kumejengwa kama hakujajengwa mpaka sasa

    na badae utakuja kusikia viwanja vya mnazi mmoja pale kidongo chekundu vinajengwa

    ReplyDelete
  2. ili bango limeanza vizuri kwa lugha ya kigeni,cha ajabu limeishia kwa lugha ya nyumbani,hii ni dalili kwamba hizo nyumba zitajengwa kwa mtindo huo huo.teh! teh!

    ReplyDelete
  3. sasa wenye nyumba zao wamelipwaaa!!??

    ReplyDelete
  4. bull shit wote waliopata ukimwi ni kwa kupenda ngono? Tangazo la unyanyapaa kabisa.

    ReplyDelete
  5. Mdau wa tatu Anonymous wa Sat Feb 11, 12:44:00 AM 2012

    wenye nyumba zao walishalipwa kitambo tu, isipokuwa kwa tabia yetu ya Mipango si Matumizi unaweza kukuta mtu badala ya kwenda Mbweni Mibuyuni makazi mapya au Chanika Kijijini kwa Fundi Baiskeli anahamia Bondeni Jangwani anajenga!

    HALAFU ANAKUJA KILAUMU CHAMA NA SERIKALI!

    ReplyDelete
  6. Ukimwi zaidi ya 9O% unaambukizwa kupitia kwenye kufanya mapenzi na mwathirika,acha kuuonea aibu ugonjwa huu balaa,unataka kuturudisha tena kule kwa "amerogwa",nk

    David V

    ReplyDelete
  7. Tangazo la kampeni dhidi ya ukimwi limekosewa a haliwezi kufanikisha lengo la kuzuia ukimwi. Ninafikiri limeandikwa na mtu ambaye amechoka au hapendi ngono. NGONO ni mojawapo ya mahitaji ya msingi (kibayolojia na kijamii)ya binadamu kama ilivyo UGALI au WALI. Kwa hivyo ni haki kabisa binadamu ye yote kuipenda kama anaipenda. Tangazo sahihi lingesisitiza tu watu kufanya NGONO SALAMA!!

    ReplyDelete
  8. BAADA YA KUZIBOMOA HIZO NYUMBA HII NI NAFASI NZURI KULIACHA HILO ENEO WAZI, KUPANDA MITI NA KUTENGENEZA BUSTANI YA KUPUMZIKIA WANANCHI. INAONEKANA UTAMADUNI KAMA HUO HATUNA NCHINI. KAZI YETU NI KUJENGA JENGA TU NA HATUFIKIRII KUTENGA SEHEMU ZA KUPUMZIKIA. VIONGOZI WETU WANATEMBEA SANA ULAYA NA WENGI WAMESOMA AU KUISHI HUKO. HIVI HII MIFANO HAI WALIOIONA HAITOSHI KUTOA FUNDISHO KWAO ILI KUTENGA MAENEO YA KUPUMZIKA? VIPI WADA?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...