Mchezaji Haruna Moshi  (kushoto) wa Simba, akichuana na Sunday Paul wa JKT Orjoro katika mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam leo. Haruna maarufu kwa jina la Boban alitolewa kwa kadi nyekundu baada ya kumpiga kipepsi  mchezaji wa Orjoro.
Kikosi cha Simba, kilichopambana na Orjoro leo. Simba imeshinda mabao 2-0
Kikosi cha Orjoro kilichochuana na Simba leo. Picha na Kamanda Mwaikenda

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. huyo mwenye kapelo sio mkweche??

    ReplyDelete
  2. Boban alichezewa rafu nyingi sana za makusudi kwa nia ya kumchokoza na refa kwa sababu anazojua yeye hakufanya lolote, baadae akapata hasira na kufanya alivyofanya. Ni kweli alifanya kosa ambalo alistahili adhabu hiyo ila kama binadamu alitegemea atetewe na refa kabla hajajitetea mwenyewe.

    ReplyDelete
  3. Kumfunga Askari katika mpira sio kigezo cha kuujua mchezo!

    Askari hana mazoezi, mazoezi yake ni Gwaride kama mazoezi ya kukimbia ni mapaka kumfukuza Mhalifu aliyetoroka, na zaidi Mhalifu anakimbizwa meta chache anakuwa ameshakamatwa kwa msadaa wa Wananchi Raia wema anabidhiwa kwa Askari!

    SIMBA fungeni mkanda!,,,mtafungwa na YANGA mkifanya mchezo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...