Mwenyekiti wa Victoria Foundation Bi Vicky Kamata akitoa msaada wa vyakula,maziwa,matunda,mavazi na magodoro kwa watoto Yatima FTI Masumbwe.
MHESHIWA VICKY KAMATA MBUNGE WA GEITA VITI MAALUM NA MWENYEKITI WA VICTORIA FOUNDATION ANAPENDA KUTOA SHUKRANI ZAKE ZA DHATI KWA MAKAMPUNI , TAASISI NA WATU BINAFSI WALIOJITOA KWA HALI NA MALI KUSAIDIA WATOTO YATIMA NA WALEMAVU MKOA WA GEITA, MWENYEZI MUNGU AWARUDISHIE MARA MIA KWA MOYO WAO WA UPENDO.
WATU NA TAASISI HIZO NI PAMOJA NA EWURA, HOME SHOPPING CENTRE, QUALITY GROUP LIMITED, TRA, GEITA GOLD MINE, MHESHIMIWA MARK BOMANI, PPF, UDF (UNITY IN DIVERSITY FOUNDATION), MKURUGENZI HALIMASHAURI YA WILAYA GEITA NA MERY NOTMAN (KIDSCARE IRELAND)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...