Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akitoa hotuba yake ya ufunguzi wa Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi katika hoteli ya White Sands jijini Dares Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(kushoto) akipongezwa na Mbunge wa Jimbo la Peramio, Jenister Mhagama mara baada ya kufungua , Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi katika hoteli ya White Sands jijini Dares Salaam.
Baadhi ya Wabunge walioshiriki Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi katika hoteli ya White Sands jijini Dares Salaam leo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania(kushoto) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Jimbo la Rungwe Magharibi Profesa David Mwakyusa mara baada ya kufungua , Semina Elimishi ya wajumbe wa Tume ya Utumishi wa Bunge na Kamati ya Uongozi katika hoteli ya White Sands jijini Dares Salaam.Picha zote na MAGRETH KINABO - MAELEZO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...