SERENGETI FREIGHT FORWARDERS
WAZEE WA KAZI 
AIR CARGO TO AFRICA !
GOOD NEWS!
ONLY £1.80 PER KG 
(PLUS £30 HANDLING CHARGES ONLY NO EXTRA CHARGES)
NDEGE ZINAONDOKA KILA SIKU
NEXT VESSEL FROM TILBURY SAILS ON 20/04/2012 CUT OFF 16/04/2012
NEXT VESSEL FROM SHEERNESS SAILS ON 30/03/2012 CUT OFF 29/03/2012
NEXT VESSEL FROM IMMINGHAM SAILS ON 24/04/2012 CUT OFF 20/04/2012
SALOON CARS TO DAR/ MBS FROM £700
4X4 CARS TO DAR/MBS FROM £780
KUANZIA SASA VIFURUSHI KWA MELI ITAKUWA KILA MWEZI KONTENA LITAONDOKA MOJA MWISHO WA MWEZI NA TRANSIT TIME NI 35 DAYS TUMEAMUA KUFANYA HIVI ILI KUBORESHA HUDUMA ZETU NA KUONDOA MAPUNGUFU TULIYOKUWA NAYO HAPO MWANZONI. KUANZIA SASA HAKUNA MZIGO UTAKAOCHELEWA. TUNAWAOMBA RADHI WALE WOTE WALIOATHIRIKA NA MAKONTENA KUCHELEWA HAPO MWANZO. 
KWA WALE WALIOTUMA VIFURUSHI NASI MWANZO WATAPEWA 50% DISCOUNT KAMA MALIPO KWA MIZIGO KUCHELEWA
Kuna habari nzuri sana kwa watanzania wote waishio uk zinakuja hivi karibuni kutoka serengeti!
giving something back to the community! mfuko wa tusaidiane ! funded by us, for everyone!
more details to come, watch this space
kama unataka kuagiza kitu au kufanya booking yoyote tutumie email au tupigie kwenye namba zifuatazo;
CHRIS LUKOSI  +44 07404279633 & +44 07903828119

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. SERENGETI NIMEWAKUBALI, LETENI HUU MPANGO WA TUSAIDIANE MSAIDIE WAFIWA NA WAGONJWA WASIOJIWEZA MUWE MFANO KWA WATU WENGINE

    ReplyDelete
  2. Nyie mnatisha, nilishawauliza tena ila hamkujibu, mnaoneje mkiwa na tawi huku Birmingham? Maana kusafirisha mabegi yetu hadi kwenu ni gharama nyingine. Tusaidie pia huku Birmingham

    ReplyDelete
  3. FGrankly speaking matangazo haya hayaendani kabisa na uwezo wao. Jamaa niliwaandikia maombi ya kutuma mzigo wangu, wakanijibu wanfuatalia leo hii mwezi wa pili sijawasikia mpaka nimeamua kutumia njia ingine.

    Kujitangaza tujitangaze lakini pia kujitangaza huko kuendane na uwezo wa huduma. Siwezi kuwa-rate kwa huduma zao kwa kuwa hawajanifanyia kitu ila niwapatia very low kwenye customer care. Kama kazi ipo beyond your capability ni bora kusema, kuliko kuingia mitini.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...