Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akiwapungia mkono watu waliofika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu kushuhudia wakati akikabidhiwa kombe la UEFA jijini Dar es salaam leo.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya kinyago kwa Mwakilishi mkazi wa shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), BW Oluseyi Bajulaye ambaye alikwenda ofisini kwa Waziri Mkuu kuaga leo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Sasa sisi kombe la UEFA la nini ndio maana tunachanganya mpira wa miguu na ngumi pamoja

    ReplyDelete
  2. Tenga yuko wapi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...