Home
Unlabelled
yale yaleeeeeee,,,,,,
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hawana hizo kamba maalum, na wao wanataka kula na familia zao. Kabla ya hizo kamba vibarua walifanyakazi vipi?
ReplyDeleteMtoto akililia wembe mpe
ReplyDeletewafungwe jala hao wanaotoa ajira na building permit kama hakuna dhana za kufanyia kazi
ReplyDeleteNchi za ughaibuni wakibaini kitu kama hicho campuni ya ujenzi inapokonywa kibali chake na kufungwa eneo hilo. SMT mupoooo
ReplyDeletemdau wa kwanza unahitaji kumuona daktari wa magonjwa ya akili haraka sana.
ReplyDeleteWatu wenye menatlity kama yako ndio wanaochangia sana kuzoretesha maendelea ya mtanzania na kuendelea kuishi katika maisha dhaifu na ya hatari.
hao wanaojiita OSHA wako wapi?Kazi hawana,hapo ujenzi lazima usimamishwe na faini juu.
ReplyDeleteKwan si huwa kuna wale wakaguzi wa kiserikali wa masuala ya ujenzi?? Wako wapi? Coz nnavyojua ni lazima mjenzi awe na nyenzo zinazotakikana zikiwemo helmets na zinginezo!
ReplyDeleteNgoja la kutokea litokee uone tume,kamati,kikosi kazi,.........na wasiasa watakavyo toa taarifa na maagizo ili muradi waonekane wapo.
ReplyDelete