Home
Unlabelled
hivi ndivyo bajaj inavyokula vichwa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ili kuongeza usalama kwa abiria wa bajaji wengeweka alau vyuma vitatu kila upande ili abiria wasianguke.
ReplyDeletevitu vingine tunajitakia wenyewe. Mimi nilishauri zamani kwa wahusika, bajaji zote zinazobeba abiria ziwe registered na kupewa namba ya ubavuni kama taksi za kawaida. Dereva wake lazima aweke certified copy ya leseni yake ining'inie kati yake na abiria ili abiria awe ana uhakika nani ni dereva wake na kama ana leseni. Kila bajaji lazima iorodheshe kituo chake cha kazi na hicho kituo kiwe kimesajiliwa. Process yote hio ni mapato kwa Halmashauri/ TRA/ Polisi. Siwezi amini bajaji zimezuka miaka mitano tu iliopita lakini tunashindwa kuzidhibiti. Similar process ifanywe kwa bodaboda.
ReplyDeleteChe
Hapo ndipo tunapokosea. Trafiki wanaona huyo anavunja sheria lakini wanawaachia tu mpaka itakapotokea ajali ndipo wataanza kupiga kelele.
ReplyDeleteMbona taxi hazibebi abiria wengi sana hapo mjini?
Na nyinyi abiria munaoburuzwa namna hiyo inakuwaje? Munasubiri mpaka mupate ajali halafu ndiyo museme ooooh alikuwa amejaza kupita kiasi.
Si usubiri bajaji nyengine?
Mara nyingi wakipakia lumbesa kama hii hawapiti maeneo walipo trafiki polisi. Na issue ya kupakia watu watatu pia a.k.a Mshkaki.
ReplyDelete