Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Unilever Global Bwana Paul Polman ikulu jijini Dar Es Salaam leo asubuhi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Unilever Global Bwana Paul Polman ikulu jijini Dar es Salaam leo (picha na Freddy Maro)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...